1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nafasi ya Tanzania katika uwanja wa kidiplomasia

Florence Majani (HON)3 Mei 2024

Katika Makala ya Kinagaubaga, Mwenzetu Florence Majani amezungumza na Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa nchini Tanzania January Makamba, juu ya mambo mengi likiwemo hili la nafasi ya taifa hilo la Afrika Mashariki katika uwanja wa kidiplomasia.

https://p.dw.com/p/4fUDh