1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Athari za mabadiliko ya hali ya hewa Afrika

24 Aprili 2024

Kuanzia kaskazini hadi kusini, nchi nyingi barani Afrika zimeathiriwa na athari za mabadiliko ya hali ya hewa. Ukame uliokithiri, mafuriko na hali ya kuongezeka kwa joto. Malawi, Kenya na Mali pia hivi karibuni zimekabiliwa na majanga yanayohusiana na hali ya hewa.

https://p.dw.com/p/4f8Wb